Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Prime Minister's Office

Labour, Youth, Employment and Persons with Disability

News

KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA -OFISI YA WAZIRI MKUU


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 kwa mafungu sita (6) yaliyochini ya ofisi hiyo wakati wa kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria kilichofanyika tarehe 28 Machi, 2021 Jijini Dodoma.

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakifuatilia kikao cha Kamati hiyo leo Machi 28, 2021.


Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria Mhe. Mohamed Mchengerwa akisisitiza jambo kwa wajumbe wa kamati hiyo wakati wa kikao cha kupokea Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya ofisi hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 hii leo Bungeni Dodoma.

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu)Mhe. Ummy Ngeriananga akieleza mikakakti ya kuwezesha watu wenye ulemavu na kusimamia haki zao wakati wa kikao hicho.