Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mary Maganga akiwa amebeba Mwenge wa Uhuru wakati wa zoezi la makabidhiano ya mwenge wa uhuru linalofanyika leo Oktoba 14, 2025 katika uwanja wa Sokoine, Jijini Mbeya. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Rodrick Mpogolo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa 2025, Ismail Ally Ussi.