Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Prime Minister's Office

Labour, Youth, Employment and Persons with Disability

News

WAZIRI MHAGAMA AKAGUA MAANDALIZI YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU – LINDI


Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama alipotembelea uwanja wa Ilulu kukagua maandalizi ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Andrew Massawe.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na watoto wa halaiki alipowatembea kwa ajili ya kukagua maandalizi yao kuelekea Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru.


Sehemu ya watoto wa halaiki wakifanya mazoezi ya utayarisho kuelekea Kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru zinazotarajiwa kufanyika Mkoani Lindi Oktoba 14, 2019.