Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Prime Minister's Office

Labour, Youth, Employment and Persons with Disability

News

NAIBU WAZIRI KATAMBI AONGOZA KIKAO CHA MAJADILIANO KUHUSU SEKTA YA KAZI


Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Patrobas Katambi akizungumza wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu sekta ya kazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) uliopo Mji wa Serikali, Mtumba Disemba 18, 2020.

Sehemu ya Wajumbe wa kikao hicho wakisikiliza kwa makini maelezo ya Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Patrobas Katambi (hayupo pichani) walipokutana kujadili sekta ya kazi nchini.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deo Ndejembi akieleza jambo wakati wa kikao hicho.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akieleza jambo wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu masuala ya kazi katika sekta ya nishati.

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Patrobas Katambi (kushoto) akimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato (kulia) wakati wa kikao hicho kilichowakutanisha kujadili kuhusu sekta ya kazi.