Waziri wa Nch Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa pili kutoka kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (kushoto), Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga wakifuatulia hoja za Wabunge Aprili 10, 2025 wakati wakichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka wa fedha 2025/2026, baada ya kuwasilishwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Bungeni Dodoma.