Waziri wa NchI Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu (aliyesimama) amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti na baadhi ya Watumishi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Desemba 12, 2025, jijini Dodoma, wa Pili kulia ni Naibu Waziri Ofisi hiyo Mhe. Rahma Kisuo, kushoto ni Kamishna wa Kazi Ofisi hiyo Suzan Mkangwa.