Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Prime Minister's Office

Labour, Youth, Employment and Persons with Disability

News

WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KAMISHNA MPYA WA KAZI


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amekutana na Kamishna mpya wa Kazi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu hii leo Septemba 6, 2018 Jijini Dodoma.

Aidha, Waziri Mhagama amemkaribisha Kamishna wa Kazi Bw. Gabriel Malata na kumtaka akasimamie utekelezaji wa majukumu ya ofisi yake kwa ufasaha.